Hadi sasa DMZV ina mifumo baadhi ya kiteknolojia, ikiwemo MIS, website, Payroll system, QuickBooks, Hospital Information Management System
Kitengo kina sera ya ufuatiliaji na tathmini
Kitengo cha Utumishi mpaka sasa kinasimamia jumla ya watumishi 413 wanaume 256 wanawake 157. Kitengo kinaendesha shughuli zake kwa mujibu wa Katiba ya Day...
Mpaka sasa Dayosisi inasambaza habari zake kwa kutumia mitandao ya kijami ambayo ni; Ø Website: www.elct-elvd.org Ø Facebook:...
Kitengo cha manunuzi kinafanya manunuzi kwa kuzingatia katiba na sera ya manunuzi ya Dayosisi, nanunuzi yote yanapitiwa na kamati ya manunuzi ya Dayosisi yenye...
Kanisa limesajiliwa RITA, Wizara ya mambo ya ndani na limefanikiwa kuwasilisha marejesho (returns) ya kila mwaka kwa taasisi za usajili za RITA na Wizara...
Kitengo cha Ukagizi ni kitengo kinachohusika na maswala ya ukaguzi wa sharika, vituo, ofisi za majimbo na ofisi kuu ya Dayosisi kutokana na miongozo ya kanisa (...