Hadi sasa DMZV ina mifumo baadhi ya kiteknolojia, ikiwemo MIS, website, Payroll system, QuickBooks, Hospital Information Management System
Kuwa Dayosisi yenye kuimarisha mifumo mathubuti kidigitali
- Kuwajengea uwezo watumishi wa DMZV kuhusu matumizi ya kiteknologia inayotumiwa na Dayosisi
- Kufanya installation ya vifaa vya kompyuta za taasisi
- Kufanya maintenance ya vifaa vya kompyuta
- Kuunda mifumo ya kieletronic ikiwepo maombi ya fedha na manunuzi
- Kuratibu ununuzi na ukarabati wa vifaa vya tehama
- Kuratibuuwekaji taarifa zote kwenye mfumo wa Dayosisi (ELCT-MIS)