M&E

Kitengo kina sera ya ufuatiliaji na tathmini

Kuwa Dayosisi inayotekeleza kazi zake kwa wakati na kuzingatia mifumi dhabiti 

- Kuwajenge watumishi uwezo juu ya ufuatiliaji na utathmini kwenye ngazi zote za DMZV (Majimbo, Sharika na Dayosisi)

-Kufuatilia maendeleo ya kazi za usharika

- Kufanya tathmini za miradi na kazi za usharika

- Kutoa taarifa zilizochambuliwa kwaajili ya matumizi ikiwemo maamuzi na kupanga 

- Kuandaa miongozo mbalimbali ya ufuatiliaji pamoja na SOPs

ESSAU KANYONI, Mobile: 0623 850 509

UPCOMING EVENTS

Jun 20

KKKT-MARATHON 2026

Saturday 08:42 AM

Details →

Aug 26

DAY TRIP AT SERENGETI NATIONAL PARK

Wednesday 02:45 PM

Details →