Kitengo kina sera ya ufuatiliaji na tathmini
Kuwa Dayosisi inayotekeleza kazi zake kwa wakati na kuzingatia mifumi dhabiti
- Kuwajenge watumishi uwezo juu ya ufuatiliaji na utathmini kwenye ngazi zote za DMZV (Majimbo, Sharika na Dayosisi)
-Kufuatilia maendeleo ya kazi za usharika
- Kufanya tathmini za miradi na kazi za usharika
- Kutoa taarifa zilizochambuliwa kwaajili ya matumizi ikiwemo maamuzi na kupanga
- Kuandaa miongozo mbalimbali ya ufuatiliaji pamoja na SOPs