Katika kuhitimisha juma la misioni leo Juni 14, 2026 Mzambarauni Masumbwe zimefanyika ibada ya kuweka kiwanja cha kanisa wakfu, ibada ya kufungua mtaa wa Betheli-Mzambarauni, ibada ya kuweka jiwe la msingi kanisa, ibada ya ubatizo wa watoto na watu wazima.